Sports

Timu Ya Morocco ‘Atlas Lions’ Yawasili Nairobi kwa Mashindano ya CHAN

Published

on

Timu ya Taifa ya Morocco, maarufu kama The Atlas Lions, imewasili jijini Nairobi tayari kwa mashindano ya CHAN yatakayofanyika mwezi ujao katika viwanja vya Nyayo na Kasarani.

Kikosi hicho chenye wachezaji 25 pamoja na benchi la kiufundi kilipokelewa vyema katika uwanja wa ndege kabla ya kuelekea hotelini, tayari kwa maandalizi ya mashindano hayo.

Morocco iko katika Kundi A pamoja na wenyeji Kenya, Angola, Zambia, na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DR Congo).

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Trending

Exit mobile version