Sekta ya uchukuzi huenda ikaathirika hata zaidi baada ya mamlaka ya kudhibiti kawi nchini kuongeza bei ya mafuta ya petrol , disel na mafuta ya taa....
Huenda wakenya wakagharamika zaidi katika kumudu gharama ya maisha kutokana na ongezeko la bei ya mafuta ya Petroli, Dizeli na Taa mtawalia. Hii ni kutokana na...
Wafanyibiashara mjini kilifi kaunti ya kilifi wanasema kuwa biashara mbalimbali zimedorora kutokana na ongezeko la idadi ya wachuuzi ambao wanachuuza kando kando mwa barabara kila mahali....
Serikali kuu imetenga shilingi bilioni 4.5 kusaidia vyama vya ushirika, akiba na mikopo ili kuimarisha kilimo humu nchini. Akizungumza na vyombo vya habari mkuu wa mawaziri...
Wafanyibiashara mjini Kilifi kaunti ya Kilifi wanalalamikia kushuka kwa kiwango cha biashara mjini Kilifi baada ya wateja wanaowategemea kuanza likizo. Kulingana na uchunguzi ulifanywa na Coco...
Wito unazidi kutolewa kwa serikali ya kaunti ya kilifi kuhakikisha kuwa soko lililojengwa miaka 15 eneo la Matano mane linafunguliwa ili kuwawezesha kuendeleza biashara zao bila...
Mzee wa mtaa eneo la Mavueni kaunti ya Kilifi Catherine Anzazi amewaonya vijana wadogo dhidi ya kujiingiza kwenye makundi ya kihalifu. Akizungumza na Coco Fm, Anzazi...