Mwanahabari na mke wa Presenter Kai, Diana Yegon, ameibua gumzo mtandaoni baada ya kuandika ujumbe wa ucheshi uliolenga wanawake wote wanaoitwa Diana. Kupitia ukurasa wake wa...
Mwanamuziki wa Kenya, Diana Marua, maarufu kama Diana B, amewataka mashabiki wake kuacha wivu na kushirikiana katika kuusukuma wimbo wake mpya Bibi ya Tajiri hadi kufikisha...
Msanii maarufu wa Kenya, Arrow Bwoy, amezua gumzo mtandaoni baada ya kumualika wazi wazi mfanyabiashara kutoka Uganda, Shakib Cham, kwenye pambano la ndondi. Hii imekuja baada...
Mashindano ya CHAN 2024 yakielekea ukingoni, mashabiki wanatarajiwa kupata burudani ya aina yake kutoka kwa baadhi ya nyota wakubwa wa muziki Afrika Mashariki. Kenya, Uganda na...
Msanii nguli kutoka Tanzania, Zuchu, anatarajiwa kutumbuiza kwenye mechi ya Fainali ya CHAN 2024 Jumamosi, Agosti 30, 2025 jijini Nairobi. Kupitia mitandao yake ya kijamii, Zuchu...
Kwa zaidi ya miaka 45, Gould David alikuwa uso wa imani ya Kikristo nchini Australia. Akiwa padri wa Kanisa, alihubiri, aliongoza ibada, na akahudumia maelfu ya...
Mchekeshaji aliyegeuka kuwa mwanaharakati, Eric Omondi, amefichua njama ya mwanamke aliyedai kutimuliwa na mumewe ili kuomba msaada wa kifedha kutoka kwa wahisani. Mapema wiki hii, video...