Sports

Mbeumo United Ndiyo Chaguo Langu

Published

on

Kiungo mshamabulizi wa kilabu ya Brenford na Cameroon Bryan Mbeumo ameweka wazi kuwa anapendelea kujiunga na kilabu ya Manchester United pekee msimu huu.

Mchezaji huyo ambaye alifunga magoli 20 msimu uliopita anasema hatakubali ofa kwiengineko iwapo united hawataendelea na dili hio kumpeleka Old Trafford.

Kilabu ya Manchester United wanatarajiwa kuwasilisha ofa ya pili kusaka hudumza za winga huyo,

Hii ni baada ya ofa ya kwanza ya pauni milioni 55 kukataliwa na Brenford wiki moja iliopita.

Brenford wanataka pauni milioni 60 kumwachilia mchezaji huyo nyota ambaye pia anamezewa mate na kilabu ya Tottenham Ya Uingereza.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Trending

Exit mobile version