News

Kilabu Ya Arsenal Yaboronga Uefa

Published

on

Uefa

Kilabu ya PSG ya Ufaransa kucheza dhidi ya Inter ya Italia kwenye fainali ya uefa baada ya kunyamazisha kabla ya kuzimisha kilabu ya Arsenal kipigo cha magoli 2-1 ugani Parc de prince siku ya jumatano.

Kiungo wa Uhispania Fabain Ruiz aliwaweka uongozini Psg kunako dakika ya 27 kabla ya Akraf Hakimi kuweka la pili kunako dakika 72 kipindi cha pili ikawa ni jumla ya magoli 3-1

Goli la kufutia machozi la Arsenal lilitiwa kimyani ni winga wa Uingereza Bukayo Saka kunako dakika ya 76 kipindi cha pili na kuzamisha kabisa matumaini ya timu kupata taji msimu huu.

Hata hivyo baada ya kubanduliwa nje kocha wa The Gunners Mikel Arteta angali na asisitiza walikua timu bora kwenye kombe hilo huku akidai Psg walisadiwa pakubwa na kipa wao Gianluigi Donnaruma raia wa Italia aliyefanya kazi kubwa ya makombozi na kuwanyima nafasi vijana wake.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Trending

Exit mobile version