Mamlaka ya kuchunguza utendakazi wa maafisa wa polisi nchini IPOA, imetoa tahadhari kwa taifa kutokana na ongezeko la vifo vya wakenya vinavyotokea katika vituo vya maafisa...
Waziri wa Fedha nchini John Mbadi alisoma bajeti ya kitaifa ya mwaka wa Fedha wa 2025/2026 ambayo ni makadirio ya takriban shilingi trilioni 4.23. Akisoma bajeti...
Makao makuu ya Kanisa Katoliki duniani mjini Vatican ilitangaza uteuzi wa kwanza wa Askofu mwenye asili ya China chini ya usimamizi wa Papa Leo XIV. Hii...
Inspekta Jenerali wa polisi Douglas Kanja ameomba msamaha kwa kutoa ripoti isiyo sahihi kuhusu uchunguzi wa mauaji dhidi ya mwalimu na mwanablogu Albert Ojwang. Mapema wiki...
Takriban watoto milioni 138 walishirikishwa katika ajira za watoto kote duniani mwaka 2024. Kulingana na ripoti mpya iliyotolewa na Shirika la umoja wa mataifa la watoto...
Serikali ya Uingereza ilitangaza kuekeza kima cha dola milioni 60 zaidi katika mradi wa uzalishaji wa Kawi ya miale ya jua katika eneo la Langobaya kaunti...
Spika wa bunge la kaunti ya Mombasa Aharub Khatri amezidi kuwakosoa viongozi wa kisiasa katika kaunti hiyo kutokana na kile ambacho anadai wanaendeleza siasa ambazo hazina...
Maseneta katika bunge la Seneti wamemtaka Waziri wa usalama wa ndani Kipchumba Murkomen na Inspekta Jenerali wa Polisi nchini Douglas Kanja kueleza kilichosababisha kifo cha mwanablogu...
Washukiwa 7 waliokamatwa katika eneo la Mtwapa kaunti Kilifi kwa tuhuma za wizi kwenye magari watafahamu hatma yao siku ya Ijumaa 13 mwezi huu iwapo wataachiliwa...
Jaji Mkuu mstaafu David Maraga ametoa wito wa kusitishwa mara moja kwa utawala wa rais William Ruto kufuatia kifo cha mwanablogu Albert Omondi Ojwang anayedaiwa kufariki...