Business

Wakulima Rabai Wageukia Kilimo cha Viazi Vitamu Kufuatia Mvua Chache

Published

on

Wakulima wanaoendeleza kilimo biashara kutoka rabai kaunti ya kilifi wamegeukia kilimo cha viazi vitamu.

Kulingana na wakulima hao msimu huu wa mvua chache viazi vitamu vinafanya vizuri ikilinganishwa na msimu wa masika.

Wakizungumza na cocofm wamesema kwa sasa kilimo cha viazi vitamu hakina hasara kwani kinachukua mda mfupi kuwa kukomaa na pia hakitumii maji mengi.

Aidha wamewashauri watu wengi kujihusisha na kilimo ili kujiinua kiuchumi.

“Kilimo cha viazi vitamu sai kinafanya vizuri kwani huwa havihitaji mvua nyingi na huu ni msimu wa mvua chache hivyo tunatarajia kufanya vizuri hata hivyo tunawaomba watu wengi kuingilia kilimo ili waweze kjiinua.”

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Trending

Exit mobile version