Siku moja baada ya mamlaka ya udhibiti wa kawi nchini, EPPRA kutangaza kupandishwa kwa bei ya mafuta, sekta ya uchukuzi katika kaunti ya Kilifi inaelezea hofu...
Wafanyibiashara mjini Kilifi kaunti ya Kilifi wanalalamikia kushuka kwa kiwango cha biashara mjini Kilifi baada ya wateja wanaowategemea kuanza likizo. Kulingana na uchunguzi ulifanywa na Coco...
Wito unazidi kutolewa kwa serikali ya kaunti ya kilifi kuhakikisha kuwa soko lililojengwa miaka 15 eneo la Matano mane linafunguliwa ili kuwawezesha kuendeleza biashara zao bila...
Vijana eneo bunge la Kaloleni na Kilifi kwa ujumla wamehimizwa kujiunga kwenye mashirika ya akiba na mikopo ili kupata mtaji wa kuanzisha biashara ndogondogo zitakazowasaidia kujikimu...
Baadhi ya wakulima wa mahindi katika eneo la chonyi kaunti ya kilifi wanakadiria hasara kutokana na mvua nyingi ambayo inaendelea kunyesha maeneo mengi nchini. Kulingana na...
Wadau mbalimbali wa kilimo wametoa wito kwa Serikali kuanzisha somo la teknologia ya kilimo kwenye mtaala wa masomo humu nchini ili kuimarisha uzalishaji wa chakula nchini....
Wahudumu wa matatu katika barabara ya kutoka kaloleni Mombasa wanasema Biashara zao zimedorora kutokana na msongamano ambao unashuhudiwa katika eneo la miritini hadi jomvu. Kulingana na...
Wafugaji ng’ombe za maziwa kaunti ya Kilifi wamesema kiwango cha maziwa wanachopata kwa sasa kimeongezeka msimu huu wa mvua ikilinganishwa na msimu wa kiangazi. Kulingana ma...
Wafanyibiashara kaunti ya Mombasa wamesema kuwa vurugu ambazo zimekuwa zikishuhudiwa mara kwa mara humu nchini zimesababisha kudorora kwa biashara nyingi humu nchini. Wakiongozwa na Simoni Owa...
Wito umetolewa kwa serikali ya kaunti ya Kilifi kujenga ukumbi maalum ambapo wakulima wataweza kupeleka mazao yao. Kulingana na mwenyekti wa soko la magarini kaunti ya...