Sports

Nyota wa Liverpool Diego Jota Aaga Dunia.

Published

on

Mshambulizi wa Liverpool Diogo Jota amefariki dunia kufuatia ajali ya gari nchini Uhispania akiwa na umri wa miaka 28, vyombo vya habari vya Ureno vimeripoti.
Inasemekana Jota alikuwa akisafiri kwa gari pamoja na kaka yake Andre, ambaye pia ni mwanasoka mwenye umri wa miaka 26.
Tukio hilo lilitokea  katika jimbo la Zamora wiki mbili tu baada ya Jota kufunga ndoa na mpenzi wake wa muda mrefu Rute Cardoso huko Porto.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Trending

Exit mobile version