Sports

Wimbledon Kujengea Mnara Bingwa Wa Tenesi Murray

Published

on

Waandalizi wa mashindano ya Tenesi ya Wimbledon kumjengea mnara Bingwa mara mbili wa mchezo wa Tenesi Andy Murray kule All England Club.

Mchezaji huyo aliandikisha historia kwa kuwa Muingereza wa kwanza kushinda msururu huo baada ya taifa hilo kungoja kwa takribani miaka 77 akishinda mwaka 2013 taji lake la kwanza kabila ya kushinda tena mwaka 2016.

Waandalizi hao wanataka mnara hiyo ijengwa kabla ya kukumbu za masshindano hayo Wimbledon mwaka 2027.

Murray alitundika daluga mwaka jana baada ya mwashindano ya Olimpiki nchini Ufaransa.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Trending

Exit mobile version