Sports

Starlets Yaanza Vema CECAFA

Published

on

Kikosi cha soka akina dada Harambee Starles imeanza vema mashindano ya ukanda wa Afrika Mashriki na kati CECAFA ambayo yanandelea mjini Dar es Salaam Tanzania.

Hii ni baada ya vipusa hao chini ya kocha Beldine odemba kufunga Burundi magoli 3-0 ugani Azam Sports Complex,kiungo wa Vihiga Queens Martha Amunyolet alikua nyota wa mchezaji huyo baada ya kucheka na nyavu mara 2 goli la kwanza dakika 2 na lingine dakika 5 kabila ya mshambulizi wa Kibera Soccer Women Faith Mboya kufunga la tatu dakika 91.

Kikosi hicho kinashuka dimbani dhidi ya Crested Cranes Ya Uganda katika mechi ya pili.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Trending

Exit mobile version