Business

Redio Zapoteza Soko Kilifi, Wafanyabiashara Wabadilika Kuuza Nguo

Published

on

Ujio wa tekinolojia umetajwa kuathiri biashara ya kuuza radio mjini kilifi kaunti ya kilifi.

Kulingana na wafanyibiashara wa kuuza radio mjini kilifi biashara hiyo imedorora pakubwa kwani simu nyingi za mkononi ziko na radio.

Wakizungumza na cocofm wafanyibiashara hao wamesema kuwa mara kwa mara wamekosa kuuza kutokana na idadi ndogo ya wateja hali ambayo imeathiri mapato yao.

Hata hivyo wafanyibiashara hao wamesema imewalazimu kuanzisha biashara ya kuuza nguo ili kuendelea kujikimu kimaisha.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Trending

Exit mobile version