Sports

Modric Rasmi Ametua Kwenye Kilabu Ya AC Milan

Published

on

Kilabu ya AC Milan imethibitisha kunasa huduma za kiungo mbunifu na mzee wa kazi Luka Modric kutoka Real Madrid kwa mkataba wa mwaka mmoja.

Raia huyo wa Croatia alipasi vipimo vya kimatibabu hapo jana kabila ya kuzinduliwa rasmi ugani San Siro

Mchezaji mwenye umri wa miaka 39 alijiunga na miamba wa uhispania mwaka 2012 akitokea katika kilabu ya Tottenham HotSpurs ambapo amekuwa na mafanikio makubwa mno ikiwemo kushinda mataji zaidi ya kumi na Los Blancos.

Modric ameshinda zaidi ya mataji 10 akiwa na kilabu hiyo ya Uhispania.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Trending

Exit mobile version