Sports

Kenya Tayari Kwa Voliboli Ya Walemavu Afrika

Published

on

Mashindano ya Mchezo wa Voliboli ya watu wanaoishi na ulemavu Barani Afrika kuandaliwa humu nchini Julai 1 hadi Julai 10.

Tayari Droo ya makala ya mwaka huu mashindano hayo imetolewa rasmi hapo jana ambapo;

Kundi A ;Kenya,Rwanda,Aljeria

Kundi B;Misri,Morocco,Nigeria na Afrika Kusini.

Mshindi wa mashindano hayo anawakilisha Bara la Afrika katika mashindano ya dunia Forth Wayne Indiana huku Bara hili likiwa na nafasi mbili pekee katika mashindano hayo ya dunia.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Trending

Exit mobile version