Sports
Kasarani Njia Nyeupe Mechi Za CHAN
Waziri wa Michezo Salim Mvurya ameweza kukabidhi rasmi uwanja wa Kasarani kwa kamati andalizi ya mashindano ya CHAN ikiwa inashiriria kwamba uwanja huo uko tayari kwa kipute hicho kinachongoa nanga augosti 2 katika mataifa ya Kenya Uganda na Tanzania.
Mechi zote za Harambee Stars dhidi ya DR Congo,Angola,Zambia na Morocco zote zitapigwa katika uga huo ambao umekarabatiwa upya kwa miundo msingi wa kisasa.
vile vile fainali ya kipute hicho kitapigwa katika uga wa Kasarani Agosti 30.
Huku uga wa Benjamin Mkapakatika Tiafa la Tanzania likaanda mechi ya ufunguzi wa Mashindano hayo Agosti 3.