Sports

Kasarani Njia Nyeupe Mechi Za CHAN

Published

on

Waziri wa Michezo Salim Mvurya ameweza kukabidhi rasmi uwanja  wa Kasarani kwa kamati andalizi ya mashindano ya CHAN ikiwa inashiriria kwamba uwanja huo uko tayari kwa kipute hicho kinachongoa nanga augosti 2 katika mataifa ya Kenya Uganda na Tanzania.

Mechi zote za Harambee Stars dhidi ya DR Congo,Angola,Zambia na Morocco zote zitapigwa katika uga huo ambao umekarabatiwa upya kwa miundo msingi wa kisasa.

vile vile fainali ya kipute hicho kitapigwa katika uga wa Kasarani Agosti 30.

Huku uga wa Benjamin Mkapakatika Tiafa la Tanzania likaanda mechi ya ufunguzi wa Mashindano hayo Agosti 3.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Trending

Exit mobile version