Sports
England Ndaani Ya Fainali EURO Ya Akina Dada
Mabingwa watetezi wa michuano ya kombe la Mataifa ya Ulaya kwa Wanawake #WEURO Uingereza (England) wametinga fainali ya michuano hiyo kwa mwaka 2025, #WEURO2025 kufuatia ushindi wa 2-1 kwenye muda wa ziada wakiifunga Italia kwa mara ya kwanza kihistoria.
England imetangulia fainali kumsuburi mmoja kati ya Uhispania au Ujerumani watakaochuana hii leo kwenye nusu fainali nyingine ya #WEURO2025
FT: England 2-1 Italy
90+6′ Michelle Agyemang
119′ Chloe Kelly
33′ Barbara Bonansea