Sports

England Ndaani Ya Fainali EURO Ya Akina Dada

Published

on

Mabingwa watetezi wa michuano ya kombe la Mataifa ya Ulaya kwa Wanawake #WEURO Uingereza (England) wametinga fainali ya michuano hiyo kwa mwaka 2025, #WEURO2025 kufuatia ushindi wa 2-1 kwenye muda wa ziada wakiifunga Italia kwa mara ya kwanza kihistoria.
England imetangulia fainali kumsuburi mmoja kati ya Uhispania au Ujerumani watakaochuana hii leo kwenye nusu fainali nyingine ya #WEURO2025
FT: England  2-1  Italy
 90+6′ Michelle Agyemang
 119′ Chloe Kelly
 33′  Barbara Bonansea

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Trending

Exit mobile version