Sports

Ojwang Arejea Morans Kwa Msururu Wa Dubai

Published

on

Naibu kocha wa Shujaa Louis Kisia amemtaja winga wa kilabu ya Nakuru Rfc Chrisant Ojwang wakati wa kukitaja kikosi cha Morans kwa ajili ya mashindano ya dunia ya HSBC World Rugby Sevens Series mjini Dubai.

Mchezaji huyo amekua nje kwa zaidi ya miezi saba baada ya kupata jeraha baya la goti ila kwa sasa amepona na yuko tayari kuwakilisha taifa kibarua yake ya kwanza ni kuongoza Kenya kwneye mashindano ya bara Afrika Juni 21-22 nchini Mauritius.

Wachezaji wengine ambayo wametajwa na kocha huyo ni pamoja na Jackson Siketa,Philip Okeya,Felix Okoth,Javan Otieno na Matoka Matoka.

kikosi hicho kiko kundi A pamoja na Uganda, Ivory Coast na Ghana.

Kundi  B kinajumuishwa ,Afrika Kusini,Burkina Faso,Nigeria na Zambia.

Kundi C kinajumisha wenyeji Mauritius,Madagascar,Tunisia na Zimbabwe.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Trending

Exit mobile version