Sports

Musiala Nje Kwa Miezi Minne

Published

on

Mshambulizi wa Taifa la Ujerumani na kilabu ya Bayern Munich Jamaal Musiala kuwa nje kwa kipindi cha miezi moja baada ya kuvunjika kifundo cha mguu mechi ya Kombe la Dunia dhidi ya PSG ugani Mercedez Benz Stadium mwishoni mwa Jumaa.

Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 22 alikutana vibaya na kipa wa PSG Giannluigi Donnaruma dakika za lala salama kipindi cha kwanza na tayari anaendelea na matibabu nchini Ujerumani akitarajiwa kufanyiwa upasuaji wiki hii.

Katibu mkuu wa kilabu ya Bayern Marx Eberl amesikitishwa na jeraha hilo akitaja ni mbaya mno kwa tineja huyo ambaye alikua ameanza kukiwasha.

Hii ina maana kiungo huyo mshambulizi atakosa mwanzo wa msimu mpya wa Bundesliga.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Trending

Exit mobile version