Sports
Harambee Stars Kucheza CECAFA Nchini Tanzania
Timu ya Taifa ya Soka Harambee Stars kucheza taji la Cecafa ukanda wa Afrika Mashariki mjini Dar-es-Salaam Tanzania ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya Chan mwezi Agosti.
Mashindano hayo ya nchi nne yanajumuisha Kenya, Uganda,Tanzania na Sudan Kusini yakingoa nanga rasmi Julai 24-27,Stars wakifungua kampeini yao dhidi ya wenyeji Tanzania ugani Karatu Stadium kule Arusha.
Katika mashindano hayo ya siku tatu washindi wa mechi za kwanza wanakutana kwenye fainali nazo timu ambazo zinapoteza zinacheza nafasi ya tatu na nne.