News

KOMESHA MALARIA: Ulimwengu Waadhimisha Siku Ya Malaria Duniani

Published

on

Leo ni siku ya Malaria Duniani. Katika siku hii wizara ya Afya imeandaa hafla ya hamasisho linatolewa kuhusiana na juhudi za kuudhibiti kabisa ugonjwa huu hatari hasa Katika mataifa yaliyoko kusini Mwa jangwa la Sahara.

Kenya ni miongoni wa mataifa yaliyopiga hatua kubwa katika kupambana na ugonjwa huu kupitia ushirikiano na programu za mashirika mbali mbali. Katika Kauti ya Kilifi, wizara ya afya ya kaunti ya Kilifi imeandaa maadhimisho haya katika uwanja wa Juma Chando, Banda ra Salama Chasimba – Chonyi.

Kauli mbiu ni Sisi Ndani Mbu Nje wakikokoteza utumiaji wa vyandarua ambavyo wizara hiyo na wadau wengine imekuwa ikotoa kwa wananchi.

Eneo hili ni moja ya maeneo yaliyo na maambukizo makubwa katika kaunti ya Kilifi.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Trending

Exit mobile version