Sports

Kilabu Ya Oklahoma City Thunder Ndiyo Mabingwa NBA

Published

on

Kilabu ya Oklahoma ndiyo mabingwa wa mchezo wa mpira vikapu marekani NBA mwaka 2025 Fainali kali iliopigwa Jumapili hii.

Hii ni baada ya vijana hao kuwanyamazisha Indiana Pacers alama 103-91 katika raundi ya 7 ya mechi hizo na kaundikisha historia mpya.

Hili ni taji lao la kwanza tangu kuondoka kutoka mji Seattle mwaka 2008.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Trending

Exit mobile version