Sports
Kilabu Ya Oklahoma City Thunder Ndiyo Mabingwa NBA
Kilabu ya Oklahoma ndiyo mabingwa wa mchezo wa mpira vikapu marekani NBA mwaka 2025 Fainali kali iliopigwa Jumapili hii.
Hii ni baada ya vijana hao kuwanyamazisha Indiana Pacers alama 103-91 katika raundi ya 7 ya mechi hizo na kaundikisha historia mpya.
Hili ni taji lao la kwanza tangu kuondoka kutoka mji Seattle mwaka 2008.