Sports

Kilabu Ya Kenya Police Mabingwa Ligi Kuu FKF PL

Published

on

Timu ya Kenya Police FC imetawazwa mabingwa wa Ligi Kuu ya FKF kwa mara ya kwanza tangu kuanzishwa kwake, katika mechi ya mwisho dhidi ya Gor Mahia iliyopigwa kwenye Uwanja wa Ulinzi Sports Complex, .

Mabingwa hao wapya walionesha ari ya kupigania hadi dakika ya mwisho, wakitoka nyuma na kupata sare ya 1–1 dhidi ya Gor Mahia waliokuwa nafasi ya pili kwenye msimamo wa ligi.
katika matokeo mengine jana:

AFC Leopards  0-0 KCB,BANDARI 1-1 POSTA,KAKAMEGA HOMEBOYZ 0-0 TUSKER,KSHARKS 4-1 MARA SUGAR,SHABANA 1-1 ULINZI STARS,MURNGA 1-0TALANTA,Shabana 1-1 Ulinzi Stars,Nairobi City Stars 0-0 Mathare United ,Sofapaka 1-2 Bidco United.

Vilabu vya Niarobi City Stars na Talanta vimeteremshwa ngazi huku Posta Rangers ikimaliza nafasi ya 16 na sasa italazimika kucheza mechi ya mchujo dhidi ya timu ya tatu ya ligi ya daraja ya pili NSL.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Trending

Exit mobile version