Sports

Starlets Uwanjani Tena Amunyolet Akilenga Mfungaji Bora

Published

on

Kiungo mshambulizi wa Harambee starlets Martha Amunyolet amesema kwamba analenga kuwa mfungaji bora kwenye Makala yam waka huu ya CECAFA nchini Tanzania

Kiungo huyo wa Kilabu ya Vihiga Queens ambaye saa hii ana magoli 3 ana amini atafunga zaidi katika mechi zijazo dhidi ya Sudan Kusini na Twiga Stars ya Tanzania.

“Niko hali nzuri na nilifunga Burundi magoli 2,pia Uganda nilijua nitafunga pia na sasa malengo yangu ni kufunga magoli mengi na kuwa mfungaji katika mashindano haya ndio nawazia si lingine.”

katika ratiba za leo Kenya vs S.Sudan 4pm

Tanzania vs Uganda 7pm

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Trending

Exit mobile version