Sports

Fainali Ya Chan 2025 Kupigwa kenya

Published

on

Shirikisho la kandanda Barani Afrika CAF imethibitisha kwamba mji wa Nairobi atakua mwenyeji wa fainali ya  kombe hilo ambalo linaandaliwa na nchi tatu za Afrika Mashariki Kenya,Uganda na Tanzania.
Miji ambayo itaanda fainali ya Chan mwaka 2024 ni kama ifuatavyo;
Dar es Salaam  – Mechi Ya Ufaunguzi
Kampala  – Mechi Ya Mshindi wa Tatu
Nairobi  – Mechi Ya Fainali
Miji ambayo itaanda mechi za makundi:
Kundi  A | NAIROBI: Kenya, Morocco, Angola, DR Congo, Zambia
Kundi  B | DAR ES SALAAM: Tanzania, Madagascar, Mauritania, Burkina Faso, Central African Republic
Kundi C | KAMPALA: Uganda, Niger, Guinea, South Africa, Algeria
Kundi D | ZANZIBAR: Senegal, *Congo, Sudan, Nigeria
#CHAN2025

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Trending

Exit mobile version