Connect with us

Sports

Timu Za Kenya Mpira Wa Hoki Zajianda Mechi Za Bara Afrika

Published

on

Timu za Kenya upande wa akina dada na wanaume mpira wa Hoki zimezidi kujitia makali ugani City Park Nairobi tayari kwa mashindano ya Kombe la Bara Afrika mjini Ismaella Misri Oktoba 11-18.

Vikosi vyote vimakua na zaidi ya mazoezi ya mara tatu kwa siku wakilenga kuandikisha matokeo ya kuridhisha katika makala ya mwaka huu.

Kulingana na kocha wa Akina dada Meshack Senge wanajinoa zaidi ili kuboresha matokeo walioandikisha mwaka 2022 mjini Accra Ghana.

Katika makala ya mwaka 2022 katika Taifa la Ghana Kenya ilijinyakulia taji la Shaba kwa akina dada huku wenyeji Ghana wakimaliza nafasi ya Tatu nayo Misri nafasi ya kwanza na kushinda Dhahabu.

Continue Reading
Click to comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Sports

Harambee Stars Kundi La Kifo Kundi B.   

Published

on

By

Huku zikiwa zimesalia siku 15 pekee kung’oa nanga kwa kipute cha CHAN mwezi ujao,
Kenya imeratibiwa kupambana na DRC, Morocco, na Angola katika Kundi A linalotajwa kuwa ndio kundi gumu zaidi yaani Kundi la Kifo.
KUNDI B
Ni Taifa jirani la Tanzania, Burkina Faso, Madagascar na Jamhuri ya Africa ya Kati.
KUNDI C
Uganda itachuana na Algeria,Africa Kusini,Guinea na Nigeria.
KUNDI D:
Congo itakabana koo na Nigeria,Senegal na Sudan Kusini.
 Mechi hizi zitasakatwa katika nyuga za katika Kenya, Uganda na Tanzania,
Continue Reading

Sports

Kiungo Wa Brenford Bryan Mbeumo Sasa Ni Mali Ya United

Published

on

By

Baada ya vute ni kuvute ambayo imedumu kwa kipindi cha mwezi mmoja ni rasmi kwamba kilabu ya manchester United na Brenford wameafikia makubaliano ya pauni milioni 70 ya kiungo mshambulizi Bryan Mbeumo raia wa Cameroon.

Haya yanajiri baada ya ofa mara mbili ya united kukataliwa na kilabu hio kabila ya kutuma ofa ya mwisho ya pauni milioni 65 na nyongesa ya pauni milioni 5.

Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 26 yuko tayari kumwaga wino mkataba wa miaka mitano baada kukubali matakwa yake binafsi.

Mbeumo anakua sajili wa pili kwa kocha mkuu Ruben Amorim baada ya ujio wa mshmabulizi Matheus Cunha.

Continue Reading

Trending