Live Video Broadcast

Top Stories


Mwili wa mtoto Keziah wasafirishwa Tarasaa kaunti ya Tanariver kwa mazishi

Mwili wa mtoto Keziah wasafirishwa Tarasaa kaunti ya Tanariver kwa mazishi

Jamaa na Marafiki walifika eneo la Mwezang’ombe kaunti ya Kilifi kuuaga mwili wa Kezia Matuki mwenye umri wa miaka saba na aliyekuwa mwanafunzi wa gredi ya pili ambaye mwili wake ulipatikana wiki chache zilizopita ukiwa umetupwa nje ya boma lao eneo hilo la Kwa Nzai, kabla ya kuusafirisha kwa ajili ya mazishi ambayo yameratibiwa kufanyika Jumamosi 16, Mei 2026 katika eneo la Tarasaa kaunti ya Tana River.

NewsUnknown Author

Editor's Corner

Business


Health & Wellness


Entertainment & Style


Sports