Live Video Broadcast

Top Stories


Kaunti ya Kilifi yatenga shilingi milioni 10 kusimamia wajane kwa SHA

Kaunti ya Kilifi yatenga shilingi milioni 10 kusimamia wajane kwa SHA

Serikali ya kaunti ya Kilifi imedai kwamba imetenga shilingi milioni 10 kusimamia huduma za afya kwa wajane Gavana wa Kilifi Gideon Mung’aro aliwataka wajane na wanawake ambao bado hawajajisajili katika SHA, kutumia fursa hiyo ili iwe rahisi kwao kupata huduma za matibabu hospitalini. Mung’aro aliwataka Wanawake wa kaunti ya Kilifi kuanza mchakato wa kuwasajali wajane katika SHA, akisema serikali ya kaunti iko na mipango ya kuhakikisha wananchi wake wanapata huduma za matibabu bila changamoto. Kiongozi hiyo pia alisema mikakati mwafaka imeidhinishwa kuhakikisha changamoto za urithi wa mashamba kwa akina wajane inashughulikiwa kupitia mawakili wa serikali ya kaunti. “Naibu wangu ni mama, tuko na maafisa watano ni mama, kwa hivyo ni wajapange washirikiane na mawakili wa kaunti ili kupata haki ya urithi na tumetenga shilingi milioni 10 kusaidia wajane kujiandikisha na SHA ili wapate huduma za matibabu bila changamoto”,alisema Mung’aro.

NewsUnknown Author

Editor's Corner

Editor's Picks

Serikali imepiga marufuku uagizaji wa dawa za Antibiotiki kwa umma
Unknown Author •
Serikali imepiga marufuku uagizaji wa dawa za Antibiotiki kwa umma
Bodi ya Hazina ya fedha ya Mombasa yaapishwa
Unknown Author •
Bodi ya Hazina ya fedha ya Mombasa yaapishwa
DCI wamtia nguvuni mshukiwa sugu Mombasa
Unknown Author •
DCI wamtia nguvuni mshukiwa sugu Mombasa
Wanaume wahimizwa kuzungumzia matatizo yanayowakabili
Unknown Author •
Wanaume wahimizwa kuzungumzia matatizo yanayowakabili
Wafanyibiashara wa mitumba eneo la Diani wafunga biashara zao
Unknown Author •
Wafanyibiashara wa mitumba eneo la Diani wafunga biashara zao
Baraza la Jamii ya Sekuye lalamikia uchimbaji wa madini kiholela
Unknown Author •
Baraza la Jamii ya Sekuye lalamikia uchimbaji wa madini kiholela
Murkomen ahimiza ushirikiano wa pamoja na wadau wa masuala ya ubaharia
Unknown Author •
Murkomen ahimiza ushirikiano wa pamoja na wadau wa masuala ya ubaharia
Sekta ya Baiskeli kuimarisha matumizi ya usafiri endelevu
Unknown Author •
Sekta ya Baiskeli kuimarisha matumizi ya usafiri endelevu
Ukataji wa miti kaunti ya Kilifi wakashifiwa
Unknown Author •
Ukataji wa miti kaunti ya Kilifi wakashifiwa
Mahakama ya Kilifi yawatupa gerezani washtakiwa zaidi ya 10
Unknown Author •
Mahakama ya Kilifi yawatupa gerezani washtakiwa zaidi ya 10
Washukiwa 5 wa uhalifu wanazuiliwa na polisi Likoni
Unknown Author •
Washukiwa 5 wa uhalifu wanazuiliwa na polisi Likoni
DCI waomba muda zaidi dhidi ya kesi ya Keziah
Unknown Author •
DCI waomba muda zaidi dhidi ya kesi ya Keziah
Polisi waonya wananchi dhidi ya mauaji ya wazee Kwale
Unknown Author •
Polisi waonya wananchi dhidi ya mauaji ya wazee Kwale
Kenya yaadhimisha sherehe za 63 za Madaraka
Unknown Author •
Kenya yaadhimisha sherehe za 63 za Madaraka
Mahakama Kuu yasitisha mpango wa Marekani na Kenya wa Karantini
Unknown Author •
Mahakama Kuu yasitisha mpango wa Marekani na Kenya wa Karantini
Mahakama ya Kilifi yaagiza mshukiwa wa mauaji kuzuiliwa kwa siku 21
Unknown Author •
Mahakama ya Kilifi yaagiza mshukiwa wa mauaji kuzuiliwa kwa siku 21
Pengo katika uhamasishaji wa afya ya uzazi kilifi
Unknown Author •
Pengo katika uhamasishaji wa afya ya uzazi kilifi
Mkasa wa moto katika shule ya Utumishi Girls Academy wasababisha vifo 16
Unknown Author •
Mkasa wa moto katika shule ya Utumishi Girls Academy wasababisha vifo 16
Waumini wa dini ya kiislamu waswali swala ya Eid-ul-Adha
Unknown Author •
Waumini wa dini ya kiislamu waswali swala ya Eid-ul-Adha

Business


Health & Wellness


Entertainment & Style


Sports