Live Video Broadcast

Top Stories


Shambulio la Osotsi lazua wasiwasi kwa upinzani

Shambulio la Osotsi lazua wasiwasi kwa upinzani

Seneta wa  Vihiga Godfrey Ososti anaendelea kupokea matibabu katika Hospitali ya Karen jijini  Nairobi baada ya kusafirishwa kwa ndege jana Jumatano April 8 2026 kutoka mjini Kisumu, siku moja tu baada ya Naibu Kinara huyo wa Chama cha ODM, kuvamiwa na kundi la vijana waliojihami kwa silaha hatari mjini Kisumu.

NewsUnknown Author

Editor's Corner

Business


Health & Wellness


Entertainment & Style


Sports