Connect with us

Sports

Sinner Bingwa Tennis Msururu Wa Wimbledon

Published

on

Mchezaji wa Tenisi anayeorodheshwa wa kwanza Ulimwenguni Jennik Sinner raia wa Italia amesema kwamba lengo lake ni kutawala dunia sasa baada ya kumpiku mwenzake Carlos Alcaraz na ksuhinda fainali ya taji la Wimbledon likiwa ni taji lake la kwanza.

Sinner alimpiku Alcaraz raia wa Uhispania kwa seti za 4-6, 6-4, 6-4, 6-4 na kuvunjilia mbali rekodi ya mhispania huyo ya kushinda taji hilo mara tatu mfululizo.

Mchezaji huyo amesema kwamba analenga kujiboresha hata zaidi akiwaonya wapinzani angali kutoa makali yake yote.

“Niko na umri wa miaka 23 na kwa sasa ningali kuwa katika ubora wangu narudi kujipanga zaidi kwa ajili ya misururu mingine ila niko na imani ya kufanya kweli katika misuru ya Tenisi.”

Mchezaji huyo amfika katika fainali nne na kushinda tatu za Grandslam na amesema hataki kutoka hapo juu kuwa mchezaji bora.

Continue Reading
Click to comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Sports

Harambee Stars Kundi La Kifo Kundi B.   

Published

on

By

Huku zikiwa zimesalia siku 15 pekee kung’oa nanga kwa kipute cha CHAN mwezi ujao,
Kenya imeratibiwa kupambana na DRC, Morocco, na Angola katika Kundi A linalotajwa kuwa ndio kundi gumu zaidi yaani Kundi la Kifo.
KUNDI B
Ni Taifa jirani la Tanzania, Burkina Faso, Madagascar na Jamhuri ya Africa ya Kati.
KUNDI C
Uganda itachuana na Algeria,Africa Kusini,Guinea na Nigeria.
KUNDI D:
Congo itakabana koo na Nigeria,Senegal na Sudan Kusini.
 Mechi hizi zitasakatwa katika nyuga za katika Kenya, Uganda na Tanzania,
Continue Reading

Sports

Kiungo Wa Brenford Bryan Mbeumo Sasa Ni Mali Ya United

Published

on

By

Baada ya vute ni kuvute ambayo imedumu kwa kipindi cha mwezi mmoja ni rasmi kwamba kilabu ya manchester United na Brenford wameafikia makubaliano ya pauni milioni 70 ya kiungo mshambulizi Bryan Mbeumo raia wa Cameroon.

Haya yanajiri baada ya ofa mara mbili ya united kukataliwa na kilabu hio kabila ya kutuma ofa ya mwisho ya pauni milioni 65 na nyongesa ya pauni milioni 5.

Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 26 yuko tayari kumwaga wino mkataba wa miaka mitano baada kukubali matakwa yake binafsi.

Mbeumo anakua sajili wa pili kwa kocha mkuu Ruben Amorim baada ya ujio wa mshmabulizi Matheus Cunha.

Continue Reading

Trending