Sports
Mashemeji Debi ni Jumapili

Mwenyekiti wa maandalizi ya CHAN mwezi Agosti nchini Nicholas Musonye amezionya vikali mashabiki wa Afc Leopards na Gor Mahia dhidi ya vurugu ya aina yoyote siku ya Jumapili Debi la Mashemeji. Kwenye kikao na wanahabari Musonye amesema iwapo viti vitangolewa au mawe kurushwa au rabsha ya aina yoyote basi vilabu hivyo vitakua hatarini.
“Viwanja vya Nyayo na Kasarani vimekarabatiwa rasmi kwa ajili ya michuano ya CHAN natoa onyo kwa mashabiki wa Afc na Gor iwapo viti vitangolewa ama Mawe kurushwa au rabsha ya aina yoyote hawatumia Tena viwanja hivi na watapata adabu Kali mno.
Vilabu hivyo viwili vinakutana kwa mara ya kwanza msimu huu mechi ya pili ikipigwa April 14 . Afc Leopards ndio wenyeji wa mechi hiyo na tayari tiketi zimeanza kuuzwa shilingi 500 mashabiki wa kawaida na 1000 mashabiki mashuhuri.Gor Mahia wako nafasi ya tatu ligini na alama 45 wakati Afc Leopards wakiwa ya Tano alama 39.
Sports
Timu Ya Taifa Ya Nigeria Super Falcons Imepokea Zawadi Nono Kutoka Kwa Rais

Sports
Morocco Waanza Mazoezi Nyayo Tayari Kwa CHAN

- Al Harrar Elmehdi
- Rachid Ghanimi (FUS Rabat)
- Aqzdaou Omar (Wydad Casablanca)
Mabeki:
- Moufid Mohamed (Wydad Casablanca)
- Boulacsout Mohamed
- Mchakhchekh Mehdi
- Louadni Marouane
- Arrassi Bouchaib
- Assal Abdelhak (RS Berkane)
- Belammari Youssef (Raja Casablanca)
- Zahouani Fouad
Viungo:
- Khairi Ayoub (RS Berkane)
- Hrimat Mohamed Rabie
- Souane Amine
- Essadak Houssam
- Hajji Reda (RS Berkane)
- Bach Anas
- Aït Ouarkhane Khalid
- Bougrine Sabir
Washambulizi:
- Mehri Youssef (RS Berkane)
- El Mahraoui Anass
- Bouhra Saïf-Eddine (Wydad Casablanca)
- Baba Khalid
- Riahi Imad (RS Berkane)
- Salaheddine Errahouli
- Mouloua Ayoub
- El Kaabi Youness
- Lamlioui Oussama (RS Berkane) Morocco wanafungua kampeini Yao dhidi ya Angola siku ya Jumapili Ugani Nyayo kwenye kundi A.