Connect with us

Sports

Kenya Yafinya Mashabiki Wake Kwenye Tiketi Za Chan Agosti.

Published

on

TIKETI
Huku ikiwa zimesalia siku 17 kung’oa nanga kwa kombe la CHAN katika mataifa ya Kenya,Uganda na Tanzania , tayari utaratibu wa viwango vya tikiti za kiingilio bumrtolewa kukiwa na yofauti ya uuzaji wa tikiti hizo katika Mataifa yanayoandaa kombe hilo.
Mfano Taifa la Kenya linaonekana kuuza tiketi hizo kwa bei ghali kuliko majirani wake wote watatu hii hapa chapa hizo;
Utaratibu kamili:
KENYA
Regular Ksh. 200
VIP Ksh. 500
VVIP Ksh. 1000
UGANDA
Regular: Ksh. 130
VIP: Ksh. 260
VVIP: Ksh. 390
TANZANIA
Regular Ksh.50
VIP Ksh.130
Je utashabikia timu yako ukiwa katika Uwanja gani??
Continue Reading
Click to comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Sports

Matumaini Ya United Kupata Mbeumo Yanazidi Kudidimia

Published

on

By

Matumaini ya kilabu ya manchester united kupata huduma za kiungo mshambulizi wa kilabu ya Brenford Bryan Mbeumo yanaonekana kufifia kila kuchao.

Haya yanajiri baada ya mazungumzo hayo kukwama kwa sasa baada ya kilabu hiyo ya London kuongeza ada ya malipo ya mchezaji huyo hadi pauni milioni 70.

Kilabu ya Manchester United haiko tayari kulipa zaidi ya pauni milioni 65 kwa mvamizi huyo raia wa Cameroon.

Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 26 alifunga magoli 20 ligi ya epl msimu jana.

Continue Reading

Sports

Barcelona Yamkabidhi Jezi Namba 10 Kwa Lamine Yamal

Published

on

By

Kilabu ya FC Barcelona imemkabidhi winga matata Lamine Yamal jezi namba 10 kilabuni humo.

Jezi hilo ambalo limevaliwa na baadhi ya wakongwe kilabuni humo ikiwemo Lionel Messi na Ronaldinho imekua na kiungo Ansu Fati ambaye kwa sasa ameondoka kilabuni humo na kujiunga na Monaco ya Ufaransa.

Huku hayo yakijiri kilabu hiyo imekumbwa na wasiwasi kuhusiana na tabia ya winga huyo katika msimu huu mapumziko baada ya kanda kumuonyesha akijivinjari na mpenzi mwenye umri mkubwa na pia ukaribu wake na Neymar wakionekana maeneo tofauti wakijivinjari mpaka saa za usiku.

Mchezaji Huyo mwenye umri wa miaka 19 alijiunga na Timu hiyo kutoka kwenye Akademia ya Kilabu hiyo LA MASIA na amekua nguzo muhimu chini ya kocha Hansi Flick akiongeza kilabu hiyo kushinda taji la Laliga na Copa De La Rey.

Continue Reading

Trending