Connect with us

Sports

Alcaraz,Sabalenka ndaani ya Robo Fainali,Wimbledon

Published

on

Bingwa mtetezi wa Wimbledon na mchezaji anayeorodhshwa wa pili ulimwneguni kwa sasa mchezo wa Tennis Carlos Alcaraz raia wa Uhispania pamoja na Aryna Sabalenka anayeotodhshwa wa kwanza upande wa akina dada wamejitosa katika robo fainali mashindano ya Wimbledon Uingereza.

Alcaraz sasa atamenyana na Cameron Norris raia wa Uingereza akitarajiwa kuingia kwenye daftari za kumbukumbu kwa kuwa miongoni mwa wachezaji ambao wameshinda msururu huo kwa miaka mitatu mfululizo wengine ambao wamewahi kushinda mara tatu kwa mpigo ni pamoja na;Bjorn Borg, Pete Sampras, Roger Federer and Novak Djokovic.

Kwa upande wake nyota wa upande wa akina Aryna Sabalenka baada ya kushinda mechi zake zote sasa ameratibiwa kumenyana na Laura Siegemund akisaka taji la nne la Grand Slam kule Wimbledon.

Continue Reading
Click to comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Sports

Harambee Stars Kundi La Kifo Kundi B.   

Published

on

By

Huku zikiwa zimesalia siku 15 pekee kung’oa nanga kwa kipute cha CHAN mwezi ujao,
Kenya imeratibiwa kupambana na DRC, Morocco, na Angola katika Kundi A linalotajwa kuwa ndio kundi gumu zaidi yaani Kundi la Kifo.
KUNDI B
Ni Taifa jirani la Tanzania, Burkina Faso, Madagascar na Jamhuri ya Africa ya Kati.
KUNDI C
Uganda itachuana na Algeria,Africa Kusini,Guinea na Nigeria.
KUNDI D:
Congo itakabana koo na Nigeria,Senegal na Sudan Kusini.
 Mechi hizi zitasakatwa katika nyuga za katika Kenya, Uganda na Tanzania,
Continue Reading

Sports

Kiungo Wa Brenford Bryan Mbeumo Sasa Ni Mali Ya United

Published

on

By

Baada ya vute ni kuvute ambayo imedumu kwa kipindi cha mwezi mmoja ni rasmi kwamba kilabu ya manchester United na Brenford wameafikia makubaliano ya pauni milioni 70 ya kiungo mshambulizi Bryan Mbeumo raia wa Cameroon.

Haya yanajiri baada ya ofa mara mbili ya united kukataliwa na kilabu hio kabila ya kutuma ofa ya mwisho ya pauni milioni 65 na nyongesa ya pauni milioni 5.

Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 26 yuko tayari kumwaga wino mkataba wa miaka mitano baada kukubali matakwa yake binafsi.

Mbeumo anakua sajili wa pili kwa kocha mkuu Ruben Amorim baada ya ujio wa mshmabulizi Matheus Cunha.

Continue Reading

Trending