Connect with us

Sports

Ratiba Ya Msimu Mpya EPL Imetolewa

Published

on

Ratiba ya msimu mpya 2025/26 wa ligi kuu uingereza imetolewa rasmi na chama cha soka uingereza FA

Mabingwa watetezi Liverpool vs Bounemouth Ijuma Agosti 15

Jumamosi Agosti 16

Aston Villa vs Newcastle United 3;30pm- Villa Park

Brighton vs Fulham 6pm – American Express Stadium

Nottingham Forest vs Brenford 6pm- City Ground

Sunderland vs West ham 6pm -Stadium of Light

Tottenham HotSpurs vs Burnley 6pm – Tottenham Stadium

Wolves vs Mancity 7;30pm- Mollieneux

Jumapili;17th Agosti

Chelsea vs Crystal Palace 4pm- Stamford Bridge

Manchester United vs Arsenal 6;30pm- Old Trafford

Jumatatu:18th Agosti

Leeds united vs Everton 10.00pm – Elland Road

Continue Reading
Click to comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Sports

Liverpool Yakubaliana Dili Ya Kerkez

Published

on

By

Kilabu ya Liverpool imekubaliana na AFC Bournemouth kuhusiana na uhamisho wa pauni milioni 4o kwa beki Milos Kerkez raia wa Serbia.

Tineja huyo anatarajiwa kuwasili Liverpool muda wowote kufanyiwa vipimo vya kimatibabu na kumwaga wino mkataba wa miaka mitano na mabingwa hao wa ligi kuu Uingereza.

Mchezaji huyo alikua nguzo muhimu kwa kilabu ya Bournemouth wakimaliza kumi bora akichangia magoli matano na kufunga mawili,anakua sajili wa tatu kwa kocha Arne Slot kwenye kilabu hio.

The Reds wakiwa wametumia pauni milioni 116 kumpata kiungo Florian Wirtz,pauni milioni 31 kupata Jeremie Frimpong.

Continue Reading

Sports

Starlets Kucheza Fainali Ya CECAFA Dhidi Tanzania

Published

on

By

Kikosi cha soka akina dada kushuka dimbani kucheza dhidi ya Twiga Stars Ya Tanzania kwenye fainali ya kipute cha CECAFA Afrika Mashariki ugani Azam Sports Complex.

Vipusa wa kocha Beldine Odemba wameshinda mechi zote tatu ikiwemo kuwalaza Sudan Kusini magoli 4-0 mechi ya siku ya Alhamisi huku wakiwa wamekusanya alama 9 sawa na wenyeji Tanzania kwenye mashindano ya mwaka huu.

kwa mujibu wa mwalimu huyo wanatarajia mechi ngumu dhidi ya wapinzani wao kwani wako nyumbani na timu bora pia.

“Tuko tayari kwa mechi ya mwisho ambayo pia ni fainali kila mmoja anajua tumekua vizuri katika mashindano haya ila Tanzania ni mpinzani mkubwa katika fainali ya leo kwa sababu pia hawajapoteza mechi kama sisi.”

Mechi hiyo inangoa nanga saa 12.00 jioni.

Continue Reading

Trending