Sports
Morocco Waanza Mazoezi Nyayo Tayari Kwa CHAN

- Al Harrar Elmehdi
- Rachid Ghanimi (FUS Rabat)
- Aqzdaou Omar (Wydad Casablanca)
Mabeki:
- Moufid Mohamed (Wydad Casablanca)
- Boulacsout Mohamed
- Mchakhchekh Mehdi
- Louadni Marouane
- Arrassi Bouchaib
- Assal Abdelhak (RS Berkane)
- Belammari Youssef (Raja Casablanca)
- Zahouani Fouad
Viungo:
- Khairi Ayoub (RS Berkane)
- Hrimat Mohamed Rabie
- Souane Amine
- Essadak Houssam
- Hajji Reda (RS Berkane)
- Bach Anas
- Aït Ouarkhane Khalid
- Bougrine Sabir
Washambulizi:
- Mehri Youssef (RS Berkane)
- El Mahraoui Anass
- Bouhra Saïf-Eddine (Wydad Casablanca)
- Baba Khalid
- Riahi Imad (RS Berkane)
- Salaheddine Errahouli
- Mouloua Ayoub
- El Kaabi Youness
- Lamlioui Oussama (RS Berkane) Morocco wanafungua kampeini Yao dhidi ya Angola siku ya Jumapili Ugani Nyayo kwenye kundi A.
Sports
Winga Wa Colombia Luis Diaz Sasa Ni Mali Ya Bayern

Klabu ya Bayern Munich, inayoshiriki Ligi Kuu ya Bundesliga nchini Ujerumani, imetangaza kumsajili winga wa Colombia, Luis Díaz.
Hatua hii imekuja baada ya Bayern Munich na Liverpool kufikia makubaliano kuhusu uhamisho wa mchezaji huyo kwa ada ya pauni milioni 65.5.
Díaz, mwenye umri wa miaka 28, aliwasili mjini Munich hapo jana kwa ajili ya vipimo vya kitabibu kabla ya kutia saini mkataba wa miaka minne na mabingwa hao wa Ujerumani.
Mchezaji huyo alijiunga na Liverpool mwaka 2022 akitokea klabu ya Porto kwa ada ya pauni milioni 37. Tangu wakati huo, ameifungia Liverpool mabao 41 katika mechi 142 alizocheza uwanjani Anfield.
Nyota huyo aliondoka kwenye kambi ya mazoezi ya Liverpool mjini Hong Kong hapo jana na kujiunga rasmi na waajiri wake wapya kwa maandalizi ya msimu mpya.
Sports
Timu Ya Taifa Ya Nigeria Super Falcons Imepokea Zawadi Nono Kutoka Kwa Rais
