Sports
Gyokeres Sasa Ni Mali Ya Arsenal

Klabu ya Arsenal imefikia makubaliano na Sporting Lisbon juu ya kumsajili mshambuliaji Victor Gyokeres kwa ada ya uhamisho ya Euro milioni 63.5 na nyongeza ya milioni 10.
Sports
Tanzania Kupitia Wizara Ya Michezo Yaanza Hamasa Kwa Mashabiki Kuelekea Chan

Sports
Chipolpolo Ya Zambia Inazidi Kujinoa Kambini Lusaka Tayari Kwa Chan

SIKU 11 ZIMESALIA KWA KOMBE LA CHAN KUNGOA NANGA
ZAMBIA- Chipolopolo
Hii leo tunangazia Taifa la Zambia,wanajiita Chipolopolo kwa jina la Utani,ikiwa inaorodheshwa nafasi ya 87 kote ulimwenguni na Shirikisho la Soka Ulimwenguni FIFA.
Kocha mkuu wa Kikosi hicho ni Avram Grant raia wa taifa la Israel, hata hivyo kwenye kipute cha Chan vijana hao wataongozwa na kocha wa nyumbani na mshambulizi wa zamani wa Nchanga Rangers na Power Dynamos Wedson Nyirenda.
Chipolopolo wameshiriki kombe hilo mara nne (2009, 2016, 2018, 2020) ila wameambulia patupu bila kushinda wakimaliza ya tatu katika mwaka wa kwanza wa kombe hilo mwaka 2009 nchini DR.Congo.
Timu hiyo ni mabingwa mara moja taji la AFCON wakishinda mwaka 2012 na pia ni mabingwa mara saba kombe la COSAFA ukanda wa Afrika Kusini.
Timu hiyo yenye wachezaji 32 itaongozwa na nahodha na mzee wa kazi beki wa zamani wa TP Mazembe Kabaso Chongo ambaye kwa sasa anapiga na Kabwe Worriors ya taifa hilo.
Badhi ya nyota wengine wa kuangaziwa katika kikosi hicho ni pamoja na mshambulizi Joseph Phiri na Evans Kayombo;
GOALKEEPERS); Francis Mwansa (Zanaco), Willard Mwanza (Power Dynamos), Levison Banda (Zesco United), Charles Kalumba (Red Arrows).
(DEFENDERS); Benedict Chepeshi, Kabaso Chongo (all Zesco United), Mathews Banda, Kendrick Mumba, (both Nkana), Killian Kanguluma (Kabwe Warriors), Kebson Kamanga, Happy Nsiku (all Red Arrows), Lyson Banda (Green Buffaloes), Dominic Chanda (Power Dynamos), John Chishimba (Zanaco).
(MIDFIELDERS); Owen Tembo, Frederick Mulambia, Prince Mumba (both Power Dynamos), Kelvin Kapumbu (Konkola Blades), Wilson Chisala (both Zanaco), Philimon Chilimina (both Green Buffaloes), Rally Bwalya (Napsa Stars), Abraham Siankombo, Kelvin Kampamba (both Zesco United), Jackson Kampamba (Mutondo Stars), Kenneth Kasanga (Nkwazi), Timothy Sichalwe (Athletico), Kelvin Mwanza (Muza FC).
(STRIKERS); Andrew Phiri (MUZA), Evans Kayombo (Napsa Stars), Charles Zulu (Nkana), Joseph Phiri (Red Arrows), Kenan Phiri (Makeni All Stars).
Zambia wako kundi A pamoja na Kenya,Angola,Morocco na Dr. Congo