Waandalizi wa mashindano ya Tenesi ya Wimbledon kumjengea mnara Bingwa mara mbili wa mchezo wa Tenesi Andy Murray kule All England Club. Mchezaji huyo aliandikisha historia...
Rais William Samoei Ruto ameahidi kununulia basi jipya Mabingwa wapya wa ligi kuu FKF PL Kenya Police kwa kazi kuntu waliofanya msimu huu. Rais alitoa ahadi...
Bodi ya Bara Ulaya EU limeidhinisha kuchukuliwa kwa mashindano ya mbio za magari MotorGP na kampuni ya Liberty Media ya Marekani ambao pia ni wamiliki wa...
Wachezaji wa Tenesi kwa akina dada Naomi Osaka wa Japan na Victoria Azarenka wote wameweza kujikatia tiketi ya Raundi ijayo msururu wa Wimbledon baada ya kushinda...
Kilabu ya Manchester United kimewasilisha ofa ya pili ya pauni milioni 60 kwa kiungo mshambulizi wa Brenford Bryan Mbeumo raia wa taifa la Cameroon. Haya yanajiri...
Mkufunzi wa kilabu ya Ubuntu Fc ambaye pia ni mkufunzi wa shule ya Upili ya Majaoni Gilbert Lewa amefichua kwamba halipwi na kilabu yake na kwamba...
Katibu katika Wizara Kuu ya Kitaifa Inayosimamia Maswala ya Vijana na Uchumi Bunifu Fikirini Jacobs amesifia hatua ya Shirikisho la soka nchini FKF na serikali kupitia...
Mchezaji Tenesi anayeorodheshwa wa Pili duniani kwa sasa Carlos Alcaraz raia wa Uhispania ameweza kuandikisha rekodi mpya baada ya kushinda taji la pili kombe la Queens...
Kilabu ya Oklahoma ndiyo mabingwa wa mchezo wa mpira vikapu marekani NBA mwaka 2025 Fainali kali iliopigwa Jumapili hii. Hii ni baada ya vijana hao kuwanyamazisha...
Kikosi cha Raga wachezaji saba kila upande chipukizi Morans kimemaliza nafasi ya nne mashindano ya Bara la Afrika nchini Mauritius. Hii ni baada ya vijana hao...