Familia ya rais mstaafu Uhuru Kenyatta imetoa shilingi milioni 1.5 kusaidia ujenzi wa kituo cha uchungaji cha Stella Maris Pastoral Center katika eneo la Watamu katika...
Serikali imezindua mpango wa kuwasajili wakulima zaidi ya laki tano kupitia mfumo wa usimamizi wa kilimo. Katibu katika idara ya Kilimo nchini Kiprono Runo alisema kuwa...
Serikali ya kitaifa kupitia bodi ya utalii nchini (KTB) imeweka mikakati ya kuwavutia wawekezaji wa kimataifa ili kupanua soko la wageni kutoka mataifa ya nje. Mwenyekiti...
Tume huru ya uchaguzi nchini Tanzania (INEC) imekiandikia chama cha upinzani cha ACT Wazalendo kuwa hakitaweza kumteua mgombea wa urais kupitia chama hicho, Luhaga Mpina. Katika...
Serikali ya kaunti ya Mombasa imethibitisha kupokea jumla ya chanjo elfu 5 za homa ya Mpox kutoka kwa wizara ya afya nchini. Chanjo hizo zinalenga kutolewa...
Wakaazi na wavuvi wanaotumia ufuo wa bahari hindi katika eneo la Diani kaunti ya Kwale wameonywa kuwa waangalifu zaidi dhidi ya upepo mkali unaoshuhudiwa baharini. Kulingana...
Gavana wa kaunti ya Kilifi Gedion Mung’aro amesema serikali yake iko mbioni kuhakikisha miradi yote ya maendeleo katika kaunti inakamilika kufikia mwezi juni mwaka ujao wa...
Kesi inayosubiriwa kwa hamu ya kumuondoa madarakani Gavana wa Kericho Erick Mutai, imeanza rasmi katika bunge la Seneti. Kulingana na ratiba rasmi iliyotolewa na Karani wa...
Seneta wa kaunti ya Kilifi, Stewart Madzayo amegadhabishwa na kile alichokiita utepetevu katika serikali kuu kufuatia malimbikizi ya miili inayofukuliwa Shakahola inayohifadhiwa kwenye makafani ya hospitali...
Kongamano la siku tatu kuhusu wiki ya upishi kutumia kawi safi limezinduliwa rasmi mjini Kilifi katika kaunti ya Kilifi huku serikali kuu ikimesema inaendelea kujumuisha kila...