Mahakama ya Shanzu katika kaunti ya Mombasa imeagiza mshukiwa wa kundi la kigaidi la Al-Shabab Ramadhan Mohammed Hassan kuzuiliwa kwa siku 14 zaidi ili kuwawezesha maafisa...
Maafisa wa Idara ya upelelezi nchini DCI wamemtia nguvuni Mhubiri tata Julius Kimtai Kipngeny wa Kanisa la Mlango wa Miujiza Deliverance katika eneo la Mishomoroni kaunti...
Kikao cha kujadili jinsi kijiji cha Owino Uhuru katika eneo bunge la Jomvu kaunti ya Mombasa kitakavyosafishwa sumu ya Lead kimetibuka. Hii ni baada ya wakaazi...
Aliyekuwa Waziri wa Utumishi wa umma nchini Justin Muturi amejitokeza na kupinga kauli ya Rais William Ruto aliyoitoa siku chache zilizopita kwamba alifutwa kazi kwa misingi...
Mwenyekiti wa baraza kuu la mashauri ya kiislamu nchini KEMNAC Sheikh Juma Ngao, amemtaka Rais William Ruto kulifutilia mbali jopo ambalo liliteuliwa siku chache zilizopita la...
Wafanyikazi wa vibarua katika Hospitali ya Mariakani kaunti ya Kilifi wameanza mgomo baridi wakilalamikia usimamizi duni wa hospitali hiyo sawa na kukosa kulipwa mishahara yao kwa...
Gavana wa kaunti ya Mombasa Abdulswamad Shariff Nassir amekashifu vikali ongezeko la vijana wadogo wanaoendeleza uhalifu katika kaunti hiyo. Abdulswamad amewakosoa wale wanaosema kuwa vijana hao...
Mwenyekiti wa kamati ya Leba katika bunge la kitaifa Ken Chonga amesema baadhi ya wakenya ambao wanasafiri katika mataifa ya miliki za kiarabu kusaka ajira wamekosa...
Spika wa bunge la kaunti ya Kilifi Teddy Mwambire amelalamikia hatua ya serikali kuu kuchelewesha usambazaji wa fedha za serikali za kaunti, akidai kwamba hatua...
Rais wa FKF Hussein Mohamed amesema kwamba shirikisho hilo lilipata shilingi milioni 6.9 na wala si milioni 9.1 kama ilivyoripotiwa mechi ya Harambee stars dhidi ya...