Zaidi ya familia 200 katika kijiji cha Gazi eneo bunge la Msambweni kaunti ya Kwale zinakadiria hasa ya mamilioni ya pesa baada ya genge la vijana...
Chama cha ODM kinatarajiwa kuanza awamu ya pili ya uchaguzi wake wa mashinani katika viwango vya wadi nchini. Makamishna wa kamati kuu ya uchaguzi wa chama...
Kinara wa Chama cha Wiper Kalonzo Musyoka amekosoa uvamizi uliofanywa na kundi la vijana wakati wa ibada ya Jumapili katika Kanisa la PCEA Kasarani jijiji Nairobi....
Idara ya usalama kaunti ya Kwale imefanikiwa kuwatia nguvuni washukiwa 9 wa uhalifu wanaoaminika kuwa vijana wa vipanga katika eneo la Diani kaunti ya Kwale. Kulingana...
Kamishna wa kaunti ya Mombasa Mohammed Noor Hassan amewahakikishia wakaazi wa kaunti hiyo pamoja na watalii wanaolenga kuzuru mjini Mombasa kwamba usalama umeimarishwa hata wakati wa...
Mamlaka ya Mazingira nchini NEMA imefanya kikao na waathiriwa wa sumu ya Lead kutoka kijiji cha Owino Uhuru eneo bunge la Jomvu kaunti ya Mombasa ili...
Gavana wa kaunti ya Kilifi Gedion Mung’aro amemuachisha kazi Katibu wa kaunti hiyo Martin Mwaro kutokana na utendakazi duni na ukosefu wa uadilifu. Gavana Mung’aro amemteua Catherine Kenga ambaye ni Waziri...
Maafisa wa Polisi mjini Mombasa wanamzuilia mwanamme mmoja baada ya kupatikana akiwa amebeba risasi na bidhaa zengine zinazokisiwa kuwa vilipuzi katika kivuko cha Feri cha Likoni....
Askofu wa Kanisa Katoliki jimbo mkuu la Malindi Willybard Lagho, ametoa onyo kali kwa viongozi wa kisiasa dhidi ya kutumia vibaya Kanisa na kuendeleza maswala ya...
Katibu katika Wizara ya Leba nchini Shadrack Mwadime amesema visa vya wakenya kuteswa na kuuwawa katika mataifa ya ughaibuni hasa nchini Saudia Arabia vimepungua pakubwa. Mwadime...