Rais Mstaafu Uhuru Kenyatta ametoa wito kwa vijana katika bara hili la afrika kuwa katika mstari wa mbele katika kuhakikisha kwamba kuna umoja kwenye bara hili....
Maafisa wa usalama kaunti ya Kilifi wanamzuilia mchungaji tata Abel Kahindi Gandi wa kanisa la New Foundation lililoko Chakama eneo bunge la Magarini kuhusiana na vifo...
Miamba wa Uingereza kilabu ya Liverpool kutangazwa mabingwa wapya wa ligi kuu EPL Wikendi hii iwapo watatoka sare ya aina yoyote dhidi ya kilabu ya Tottenham...
Mkufunzi wa kilabu ya kiifi united Samson Jumbe amesema kwamba ana Imani vijana wake watarejea katika hali ya kupata matokeo chanya licha ya vijana wake kupoteza...
Ni afuani kwa zaidi ya wafanyikazi 1,300 wakiwemo Wanahabari kutoka Kenya wa kituo cha habari za kimataifa cha Sauti ya Amerika VOA baada ya Mahahama kubatilisha...
Waziri wa Elimu nchini Julius Migos ametangaza kwamba Somo la Hisabati litakuwa la lazima katika shule za upili na kubatilisha tamko la awali la serikali la...
Maafisa wa Idara ya upelelezi wa jinai nchini DCI wanachunguza kisa kimoja ambapo afisa wa polisi katika kitengo cha msafara wa rais ameanguka na kufariki alipokuwa...
Waziri wa Elimu nchini Julius Migos amesema serikali imeweka mikakati muafaka ya kuhakikisha fedha za kusimamia shughuli za masomo zinasambazwa kwa wakati unaofaa shuleni. Waziri Migos...
Maelfu ya Waumini wa Kanisa katoliki kote ulimwenguni wamepata fursa ya kupeyana heshima yao ya mwisho kwa mwendazake Papa Francis katika Kanisa Katoliki la St. Peters...
Chama cha walimu wa shule za upili na vyuo vya kadri nchini KUPPET kimekosoa wanasiasa kwa kuingilia masuala ya walimu nchini hasa kupandishwa vyeo kwa walimu....