Mbunge wa Malindi Amina Mnyazi amesema idara ya usalama katika eneo bunge hilo inakumbwa na uhaba wa miundo msingi na ukosefu wa vifaa hitajika. Mnyazi amehoji...
Spika wa bunge la kaunti ya Kilifi Teddy Mwambire amezitaka Mahakama zinazoshuhulikia mizozo ya Ardhi na Mazingira nchini kufanya uchunguzi wa kina wa kesi za mizozo...
Katibu katika Wizara ya Leba nchini Shadrack Mwadime amewataka vijana ambao wana ujuzi mbalimbali lakini hawana stakabadhi kujisajili na Mamlaka ya kitaifa ya mafunzo ya viwanda...
Kutokana na kushuhudiwa kwa mizozo ya ardhi ya mara kwa mara katika eneo la Pwani, sasa Wizara ya Usalama wa ndani imewaonya maafisa wa idara ya...
Waziri wa usalama wa ndani Kipchumba Murkomen amesema serikali imeweka mikakati ya kuhakikisha inaajiri maafisa wa Polisi elfu 10 katika kipindi cha miezi miwili ijayo. Akizungumza...
Waziri wa usalama wa ndani Kipchumba Murkomen amemkashifu aliyekuwa Waziri la utumishi wa umma Justin Muturi kwa madai ya kushikilia nyaraka muhimu za siri za serikali...
Serikali ya kaunti ya Mombasa imetangaza kwamba italifunga daraja la Nyali kwa mda wa saa moja siku ya Jumatano tarehe 9 kuanzia mwendo wa mchana ili...
Aliyekuwa Waziri wa utumishi wa umma nchini Justin Muturi amesema maisha yake yamo hatarini baada ya kupokonywa walinzi wake ambao aliyokuwa nao tangu akiwa Spika wa...
Viongozi wa kisiasa kaunti ya Mombasa wanaitaka serikali kuingilia kati na kuzuia ubomozi wa nyumba zaidi ya elfu moja katika maeneo ya Chaani, Migadini, Lilongwe na...
ARDHI- Waziri wa usalama wa ndani Kipchumba Murkomen amesema serikali inalenga kubuni kitenga maalum cha maafisa wa usalama watakaochunguza mizozo ya ardhi katika eneo la Pwani....