Afisa wa masuala ya dharura katika Shirika la kutetea haki za kibinadamu la MUHURI Francis Auma alisema serikali kuu inahusika na visa vya utekaji nyara licha...
Mbunge wa Likoni Bi Mishi Mboko amewakosoa baadhi ya wakaazi wa eneo bunge hilo kwa madai ya kukosa kuchukulia kwa uzito kesi za dhulma za kijinsia...
Baadhi ya ofisi za Shule ya Wavulana ya Kinango kaunti ya Kwale zimeteketea baada ya moto kuzuka katika shuleni hiyo usiku wa kuamkia siku ya Jumatano....
Baadhi ya viongozi wa kisiasa kaunti ya Mombasa wanaendelea kumpigia debe Waziri wa madini na uchumi wa bahari na maziwa nchini, Ali Hassan Joho kuwa Kiongozi...
Waziri wa mazingira nchini Debora Mulongo alisema serikali kuu imepiga hatua katika upanzi wa miti nchini. Mulongo alisema wizara hiyo inalenga kuhamasisha wananfunzi kote nchini kukumbatia...
Naibu Rais Prof Kithure Kindiki amesema kuna matumaini ya kuondolewa kwa mswada unaolenga kuharamisha mzao la Mugoka ambao ulikuwa umewasilishwa bungeni. Kindiki alisema hatua hiyo ni...
Mkurugenzi wa kituo cha huduma mjini Kilifi kaunti ya Kilifi Linet Magwar amewataka wakaazi wanaotuma maombi ya kupata vitambulisho kuhakikisha wanafuatilia stakabadhi hiyo baada ya kutuma...
Gavana wa kaunti ya Kwale Fatuma Achani ameagiza wizara 10 zilizogatuliwa katika serikali za kaunti kupeana kandarasi za kutekeleza miradi ya maendeleo kwa makundi ya akinamama...
Idara ya usalama kaunti ya Kilifi imetaja kupungua kwa visa vya mauaji ya wazee wanaohusishwa na tuhma za uchawi katika eneo bunge la Rabai. Naibu Kamishna...
Maafisa wa afya katika kaunti ya Mombasa wamethibitisha kuwepo na mkurupuko wa ugonjwa wa Chikungunya huku zaidi ya wakaazi 25 wakiripotiwa kuambukizwa. Kwa mujibu wa maafisa...