Waislam kote duniani wanaadhimisha Sikukuu ya Eid-Ul-Adha, inayojulikana pia kama sikukuu ya sadaka, ambayo huadhimishwa katika mwezi wa Dhul Hijjah katika kalenda ya Kiislam. Sikukuu hii...
Idara ya usalama kaunti ya Kilifi imesema serikali inaendelea na zoezi la kufidia familia zilizoathirika na ujenzi wa barabara kuu ya Kilifi kuelekea Mtwapa. Kamisha wa...
Wanaharakati wa kupambana na utumizi wa dawa za kulevya kanda ya pwani wamemkosoa mbunge wa Kilifi Kaskazini Owen Baya kutokana na hatua ya kuondoa hoja bungeni...
Kama njia mojawapo ya kuimarisha vijana wa Pwani kupitia elimu, Jumuiya ya kaunti za Pwani imeanzisha mpango wa elimu kwa wote unaotoa elimu ya juu kupitia...
Naibu Gavana wa kaunti ya Kilifi Flora Mbetsa Chibule, aliwahimiza wenyeji wa kaunti ya Kilifi kuwa mstari wa mbele kukabiliana na uchafuzi wa mazingira. Akizungumza wakati...
Rais William Ruto alikutana na kushauriana na viongozi kutoka eneo la Nyanza katika Ikulu ya Nairobi siku ya Alhamis. Kulingana na taarifa kutoka Ikulu ya Nairobi,...
Serikali kuu imeandaa kikao cha kukusanya maoni ya umma pamoja na wadau mbali mbali kuhusu miradi ya maendeleo inayotekelezwa na serikali ya kitaifa kaunti ya Kilifi...
Wakaazi wa Malindi kaunti ya Kilifi walijitokeza na kuishinikiza serikali ya kitaifa kubuni mbinu mbadala za kuhifadhi miili ya watu iliyofukuliwa katika makaburi ya msitu wa...
Baraza kuu la mashauri ya Waislamu nchini KEMNAC limeunga mkono taifa la Tanzania kwa kutoruhusu Wanaharakati wa kijamii na baadhi ya viongozi kutoka Kenya kuingilia siasa...
Maafisa wa Idara ya upelelezi wa jinai nchini DCI kaunti ya Mombasa wamewakamata washukiwa 6 wa uhalifu wa mtandao wanaoshukiwa kuhusika na ulaghai kwa kutumia teknolojia ya...