Tume ya kitaifa ya kutetea haki za kibinadamu nchini KNCHR imesema watu 8 wamethibitishwa kuaga dunia wakati wa maandamano yaliofanyika katika maeneo mbalimbali nchini. Tume hiyo...
Rais William Ruto ameidhinisha Mswada wa Fedha wa 2025. Ruto alitia saini mswada huo kuwa sheria asubuhi ya alhamisi tarehe 26 juni 2025 katika ikulu ya...
Mwenyekiti wa kitaifa wa Taireni Association of Mijikenda, Peter Ponda Kadzeha amepinga madai kwamba wakaazi kuhusishwa katika miradi ya maendeleo katika eneo la Moi kadi ya...
Mwenyekiti wa Shirika la Malindi District Cultural Association, MADCA Stanley Kahindi Kiraga amesema misitu ya Kaya iko katika hatari ya kuangamizwa licha ya kuwa misitu hiyo...
Rais William Ruto amesema wanaendeleza mikakati thabiti katika kuhakikisha kuna miradi mingi ya maendeleo ambayo inatekelezwa kaunti ya Kilifi na kanda ya Pwani kwa jumla. Rais...
Baadhi ya viongozi wa kisiasa katika kaunti ya Taita Taveta sasa wanashinikiza wakaazi wa kaunti hiyo kuunga mkono serikali ya Kenya Kwanza wakisema inaendeleza mikakati kuhakikisha...
Serikali imeagiza vituo vyote vya habari vya runinga za kitaifa na radio kusitisha mara moja matangazo ya moja kwa moja ya maandamano yanayoendelea katika maeneo mbalimbali...
Wafanyibiashara mjini Kilifi kaunti ya Kilifi wamewataka vijana kuwa makini wakati wa maandamano ili kuepuka uharibifu wa mali. Kulingana na wafanyibiashara hao kumekuwa na uharibifu wa...
Wakenya wa tabaka mbalimbali wamejitokeza katikati mwa miji mkuu nchini Kenya ikiwemo Nairobi, Mombasa, Nakuru, miongoni mwa miji mingine kuadhimisha makumbusho ya Juni 25. Maandamano hayo...
Wadau wa kupambana na dhulma za kijinsia mjini Malindi kaunti ya Kilifi wameitaka serikali ya kitaifa kuifanyia marekebisho sheria ya adhabu na dhamana inayopewa washukiwa wa...