Wizara ya Afya imetangaza kampeni ya kutoa Chanjo bila malipo kote nchini katika juhudi za kukabiliana na maradhi ya ukambi, Homa ya tumbo na Surua. Zoezi...
Serikali ya kitaifa kupitia Wizara ya Utalii na wanyamapori nchini imetoa kima cha shilingi milioni 60 za fidia kwa wakaazi walioathirika na mizozo ya wanyamapori katika...
Waziri wa madini na uchumi wa raslimali za bahari nchini Hassan Ali Joho amesema wanawake nchini wanapaswa kuwezeshwa ili wajiendeleze kimaisha. Joho ambaye alikuwa akizungumza katika...
Mbunge wa Likoni Mishi Mboko amempongeza rais William Samoei Ruto, akisema uongozi wake haujawabagua wakaazi wa Pwani katika masuala ya maendeleo. Akizungumza mjini Garsen katika kaunti...
Naibu wa Rais Prof. Kithure Kindiki amesema serikali kuu inaendeleza mikakati ya kuimarisha taifa hili kiuchumi. Akiwahutubia wakaazi wa Garsen kaunti ya Tana River, Prof. Kindiki...
Wahudumu wa sekta ya Tuktuk mjini Malindi kaunti ya Kilifi wamelalamika kuhangaishwa na maafisa wa trafiki mjini humo licha ya kutimiza vigezo hitajika vya kuwaruhusu kuhudumu...
Mamlaka ya bandari nchini KPA imeanza kutumia mashine za kufyonza ukungu maarufu mist blower fogging units katika bandari ya Mombasa, ili kudhibiti vumbi hatari linalotokana na shughuli...
Chama cha mawakili nchini LSK tawi la Malindi kimeshtumu ukiukaji wa sheria uliotekelezwa na viongozi wa bunge la kaunti ya kilifi kwa kupuuza agizo la mahakama...
Baadhi ya mawakili nchini wanataka chama cha mawakili nchini LSK kuwaondoa kwenye orodha ya mawakili, naibu rais Prof Kithure Kindiki na waziri wa usalama wa ndani...
Kulikuwa na kizaazaa Julai mosi 2025 katika kijiji cha Mabirikani eneo la Eureka Mitangoni karibu na Mavueni kaunti ya Kilifi baada ya mwanamume anayedaiwa katumia nguvu...