Spika wa bunge la seneti Amason Kingi ameagiza asasi za usalama kufanya uchunguzi wa haraka kufuatia kifo cha wakili mmoja jijini Nairobi Mathew Kyalo Mbobu. Kingi...
Tume ya kitaifa ya huduma za polisi (NPSC) imehakikishia wakenya kwamba zoezi lijalo la kuwaajiri maafisa wa polisi litakuwa wazi, shirikishi, na lisilo na utovu wa...
Mkurugenzi wa masuala ya uvuvi kaunti ya Kilifi Mwangi Gachuru amesema serikali ya kaunti ya Kilifi inaendeleza mikakati katika kuimarisha sekta ya uvuvi kwenye kaunti hii...
Ni dhahiri sasa kutakuwa maaadhimisho ya Chenda Chenda siku ya Jumanne Septemba 9, 2025 kwa wakati mmoja katika kaunti ya Kwale na kaunti ya Kilifi. Waasisi...
Kiongozi wa upinzini nchini Tanzania Tundu Lissu, anapandishwa kizimbani katika Mahakama Kuu Masjala Ndogo mjini Dar es Salaam, kwa ajili ya kesi ya uhaini inayomkabili kwa...
Jopo lililoundwa na Rais William Ruto kushughulikia masuala ya fidia ya waathiriwa wa ukatili wa polisi wakati wa maadamano limeanza kikao cha wiki moja huku mjadala...
Wafanyibiashara kaunti ya Mombasa wanaendelea kuvuna zaidi kutokana na watalii wa ndani na nje waliozuru kaunti hiyo kufuatia maonyesho ya kimataifa ya Kilimo ambayo yalikamilika siku...
Kanisa la Kianglikana nchini limejitokeza na kukemea kukithiri kwa sakata za ufisadi nchini katika Wizara mbalimbali likisema tabia hiyo inashusha hadhi ya taifa la Kenya. Kanisa...
Serikali imewaonya watu wanaomiliki mashamba ya shule sawa na wenye nia ya kunyakua ardhi za taasisi za elimu kwamba watakabiliwa kisheria. Waziri wa elimu Julius Migos...
Mbunge wa zamani wa eneo bunge la Rongo Dalmas Otieno ameaga dunia. Kiongozi huyo shupavu na mweledi katika uzungumzaji, ameaga dunia Septemba 7, 2025 nyumbani kwake...