Jumla ya walimu 294 wa shule za chekechea kaunti ya Taita Taveta wamepandishwa vyeo kulingana na kiwango chao cha masomo yao. Akiwahutubia walimu hao gavana wa...
Mkutano wa ukusanyaji maoni ya umma kaunti ya Kwale kuhusiana na pendekezo la kuongezwa kwa ada za kuingia katika mbuga za wanyamapori nchini uliibua hisia mseto...
Takriban maafisa wanane wa polisi wamejeruhiwa kwenye shambulizi la kigaidi ambapo gari walilokuwa wakisafiria kukanyaga kilipuzi katika barabara ya Banabs-Yumbis kaunti ya Garissa. Duru kutoka idara...
Mwenyekiti wa Tume ya uchaguzi na mipaka nchini IEBC Erastus Ethekon ametangaza mipango ya kushauriana na mwanasheria mkuu wa serikali ya Kenya ili kufafanua kipi kinajumuisha...
Katibu katika idara ya vijana na uchumi bunifu nchini Fikirini Jacobs amesema serikali imeweka mikakati kabambe ya kubuni ajira kwa vijana kupitia miradi ya kibiashara. Akizungumza...
Chanjo za maradhi ya kisonono zitapatikana kwa wingi kuanzia Agosti 11, 2025 katika kliniki za afya Uingereza, katika jitihada za kukabiliana na viwango vya kuvunja rekodi...
Kundi la wanamgambo la Al-Shabab kutoka nchini Somalia limesema liliwaua wanajeshi 47 wa Uganda wanaofanya kazi chini ya Ujumbe wa Umoja wa Afrika wa Kusaidia na...
Gavana wa kaunti ya Kilifi Gideon Maitha Mung’aro amesema muungano wa madaktari nchini KMPDU umekua kikwazo kikubwa katika kulainisha utendakazi wa madaktari. Gavana Mung’aro alisema muungano...
Aliyekuwa mwakilishi wadi wa Marafa, Renson Kambi Karisa amesisitiza haja ya viongozi wa pwani kushirikiana katika kuimarisha ukanda wa pwani. Kambi alisema kuwa kupitia mshikamano huo...
Tume ya uchaguzi na mipaka nchini IEBC inatarajiwa kuandaa chaguzi ndogo 23 zinazojumuisha viti sita vya bunge la kitaifa, kiti kimoja cha seneti, na nyadhifa kumi...