Wajumbe zaidi ya elfu 30 wanahudhuria Kongamano la 9 la Ugatuzi la mwaka wa 2025 katika kaunti ya Homabay linaloanza rasmi Agosti 12, 2025. Akihutubia Wanahabari...
Shirika la wanawake mawakili nchini (FIDA) limekemea vikali ongezeko la visa vya dhulma za wanawake kwenye mitandao ya kijamii. Mkurugenzi mtendaji wa shirika hilo Anne Ireri...
Mili mingine minne imepatikana ikiwa imeoza kiasi cha kutotambulika katika msitu wa Shakahola karibu na kijiji cha Binzaro eneo bunge la Magarini kaunti ya Kilifi. Mili...
Viongozi wa kidini katika ukanda wa Pwani wamejitokeza na kushinikiza kuchukuliwa kwa hatua za haraka kuhusu jinsi ya kukomesha changamoto zinazoathiri maisha ya wananchi mashinani. Mwenyekiti...
Kinara wa Chama cha ODM Raila Odinga ameonekana kuunga mkono ushirikiano kati ya chama cha UDA na ODM, na akawasuta wapinzani dhidi ya kauli yao ya...
Kaimu Spika wa bunge la kaunti ya Taita Taveta Anselm Mwadime ametoa wito kwa viongozi wa kaunti hiyo kuwajibika vilivyo katika kutetea maslahi ya wakaazi wa...
Waziri wa afya nchini Aden Duale amethibitisha kusitishwa kwa shughuli za vituo 40 vya afya ambavyo vilibainika kujihusisha na udanganyifu dhidi ya mamlaka ya bima ya...
Muungano wa madaktari nchini KMPDU tawi la pwani umeonya madaktari wazembe ukisema hautamtetea daktari yeyote atakayepatikana anakwepa majukumu yake. Hii ni baada ya taarifa ya kamati...
Rais William Ruto amesema atawasilisha bungeni pendekezo la kupunguzwa kwa ushuru wa pikipiki ili kuwawezesha vijana kote nchini kuwa na uwezo wa kumiliki pikipiki na kujiimarisha...
Waziri wa Masuala ya kigeni Musalia Mudavadi amepuuzilia mbali madai kuwa uhusiano kati ya Kenya na Marekani unayumba. Hii ni kufuatia mswada uliowasilishwa katika bunge la...