News4 weeks ago
Rais Ruto atia saini Miswada miwili kupiga jeki Mgao wa Serikali za Kaunti
Rais William Ruto ametia saini na kuwa sheria miswaada miwili muhimu inayokusudiwa kupiga jeki ufadhili wa Serikali za Ugatuzi nchini. Rais Ruto ambaye anahudhuria Kongamano la...