Wavuvi kaunti ya Kwale walalamikia kukandamizwa na wavuvi kutoka taifa jirani la Tanzania kufuatia mizozo ya mipaka. Kulingana nao wavuvi hao, wamekua wakinyanyaswa na hata kutozwa...
Halmashauri ya bandari Kenya (KPA) pamoja na serikali ya kaunti ya Siaya zimeahidi kushirikiana kwa karibu kuimarisha miundomsingi ya usafiri na biashara katika ukanda wa Ziwa...
Wito umetolewa kwa serikali kuu kufufua viwanda vilivyofungwa katika kaunti ya kilifi ili kubuni nafasi zaidi za ajira. Mbunge wa Kaloleni Paul Katana, alisema kuna viwanda...
Mamlaka ya bandari ya nchini (KPA) imesema itaendelea kuekeza katika miradi muhimu ya miundombinu ili kukidhi ongezeko la mahitaji ya usafirishaji wa mizigo kupitia reli, baharini...
Kama njia mojawapo ya kukabiliana na ukosefu wa ajira miongoni mwa vijana nchini, vijana 1,500 kutoka kaunti ya Kwale wamepokea mafunzo ya miaka miwili ya kilimo...
Idara ya biashara na viwanda kaunti ya kilifi imesema kuwa mpango wa ujenzi wa soko jipya la kisasa mjini Malindi ni hatua itakayopiga jeki sekta ya...
Mamlaka ya bandari nchini KPA imeanzisha zoezi la kusafisha maeneo ya kuhifadhi mizigo katika bandari ya Mombasa katika juhudi za kuboresha utoaji wa huduma na kuhakikisha...
Wadau wa sekta ya utalii kaunti ya Mombasa wamepinga vikali pendekezo la shirika la huduma kwa wanyamapori nchini (KWS) la kutaka kuongeza ada za kuingia na...
Wachuuzi wa zao la nazi eneo la pwani wanasema kuwa biashara hiyo imeimarika msimu huu ikilinganishwa na hapo awali. Kulingana na wachuuzi wa nazi kutoka soko...
Wadau wa sekta ya Utalii eneo la Watamu kaunti ya Kilifi wameunga mkono pendekezo la shirika la huduma kwa wanyamapori nchini KWS la kutathmini upya ada...