Kijana wa umri wa miaka 15 ameripotiwa kujitoa uhai katika kituo cha polisi cha Bamba eneo bunge Ganze kaunti ya Kilifi, alipokuwa akizuiliwa. Kulingana na taarifa...
Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani Papa Francis ameaga dunia akiwa na umri wa miaka 88. Uongozi wa Kanisa Katoliki umethibitisha kifo chake na kusema kwamba Papa...
Kamanda wa Polisi kanda ya Pwani Ali Nuno amesema usalama umeimarishwa msimu huu wa sherehe za Sikukuu ya Pasaka huku akiwataka wakaazi pamoja na wageni wa...
Waumini wa Kanisa Katoliki kote ulimwenguni wamejitokeza kuadhimisha ibada ya njia ya msalaba, wakiashiria ukumbusho wa mateso ambayo Yesu Kristu alipitia kabla ya kufa na kufufuka...
Kamanda wa polisi kaunti ya Kwale Reginald Omaria amewaonya wakaazi dhidi ya kuranda randa ovyo katika fuo za bahari hindi katika masaa yasiokubalika na kwamba atakayepatikana...