Takriban watoto milioni 138 walishirikishwa katika ajira za watoto kote duniani mwaka 2024. Kulingana na ripoti mpya iliyotolewa na Shirika la umoja wa mataifa la watoto...
Serikali ya Uingereza ilitangaza kuekeza kima cha dola milioni 60 zaidi katika mradi wa uzalishaji wa Kawi ya miale ya jua katika eneo la Langobaya kaunti...
Katibu Mkuu ambaye pia ni msimamizi wa mchezo wa Handiboli ya Ufukweni (Beach Handball) ya Kitaifa Bi Carolyne Nyadiero amesema kwamba mandalizi yamekamilika kwa ajili ya...
Spika wa bunge la kaunti ya Mombasa Aharub Khatri amezidi kuwakosoa viongozi wa kisiasa katika kaunti hiyo kutokana na kile ambacho anadai wanaendeleza siasa ambazo hazina...
Maseneta katika bunge la Seneti wamemtaka Waziri wa usalama wa ndani Kipchumba Murkomen na Inspekta Jenerali wa Polisi nchini Douglas Kanja kueleza kilichosababisha kifo cha mwanablogu...